Mwalimu Daraja La III C - Somo La Fasihi Ya Kiingereza (English

Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania
full_time

Job Description

LITERATURE SUBJECT) - Nafasi 13

13.1 MAJUKUMU YA KAZI

i. Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa
Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
ii. Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;
iii. iKufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya
Wanafunzi;
iv. Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;
v. Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na
unasihi;
vi. Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;
vii. Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule; na
viii. Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.

13.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu
(Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Fasihi ya Kiingereza AU Shahada
isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Fasihi ya Kiingereza pamoja na
Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya
Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali.

13.3 NGAZI YA MSHAHARA

TGTS D

MASHARTI YA JUMLA

The rest of this advert is locked

Log in to read the full job — and 747 more open right now

You are reading the opening of this advert. An account is free and opens the rest of it, including the requirements and exactly how to apply before the deadline.

  • The complete description, requirements and how to apply
  • Build a professional CV aimed at this exact role
  • Link your WhatsApp and get every morning’s new jobs sent to you

How to Apply

How to apply is available to members

The employer’s application route — the email, portal or form, and the deadline — opens as soon as you have a free account.

Create a free account or log in
Practice Interview
00:00

Mock Interview Room

Practice for: Mwalimu Daraja La III C - Somo La Fasihi Ya Kiingereza (English at Public Service Recruitment Secretariat

Select difficulty level:
Your spoken accent / language — helps us capture your words accurately
Realistic mock interview with a live panel and personalized feedback

Similar jobs

Browse all jobs ›
Afisa Afya Mazingira Msaidizi Daraja La II (Assistant
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mwalimu Daraja La III B - Somo La Hisabati (Mathematics Subject)
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mwalimu Daraja La III C - Somo La Hisabati (Mathematics Subject)
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja La II (Office Management
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mteknolojia Maabara Daraja II (Health Laboratory Technologist
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Healthcare
Tabibu Wa Kinywa Na Meno Daraja La II (Dental Therapist Grade II)
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Healthcare