Mwalimu Daraja La III C - Somo La Fasihi Ya Kiingereza (English
Job Description
LITERATURE SUBJECT) - Nafasi 13
13.1 MAJUKUMU YA KAZI
i. Kuandaa azimio la kazi, maandalio ya masomo, nukuu za masomo na Mpango wa
Kazi wa majukumu mengine aliyokabidhiwa;
ii. Kutengeneza na Kufaraghua zana za kufundishia na kujifunzia;
iii. iKufundisha, kufanya Tathmini na kutunza kumbukumbu za Maendeleo ya
Wanafunzi;
iv. Kusimamia na kufuatilia mahudhurio ya wanafunzi Shuleni na Darasani;
v. Kusimamia malezi ya wanafunzi Kiakili, Kimwili, Kiroho na kutoa ushauri nasaha na
unasihi;
vi. Kutoa ushauri wa Kitaalamu na kutaaluma kuhusu maendeleo ya Elimu;
vii. Kusimamia na utunzaji wa vifaa na mali za Shule; na
viii. Kazi nyingine atakazopangwa na Mkuu wa Shule kulingana na majukumu ya Shule.
13.2 SIFA ZA MWOMBAJI
Kuajiriwa mwenye Shahada ya Elimu (Bachelor with Education) au Shahada ya Ualimu
(Bachelor of Education) yenye somo la kufundishia la Fasihi ya Kiingereza AU Shahada
isiyo ya Ualimu/Elimu yenye somo la kufundishia la Fasihi ya Kiingereza pamoja na
Stashahada ya Uzamili ya Elimu (Postgraduate Diploma in Education) kutoka Vyuo vya
Elimu ya Juu vinavyotambulika na Serikali.
13.3 NGAZI YA MSHAHARA
TGTS D
MASHARTI YA JUMLA
Log in to read the full job — and 747 more open right now
You are reading the opening of this advert. An account is free and opens the rest of it, including the requirements and exactly how to apply before the deadline.
- The complete description, requirements and how to apply
- Build a professional CV aimed at this exact role
- Link your WhatsApp and get every morning’s new jobs sent to you
How to Apply
The employer’s application route — the email, portal or form, and the deadline — opens as soon as you have a free account.
Create a free account or log in