Mteknolojia Maabara Daraja II (Health Laboratory Technologist

Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania
full_time

Job Description

GRADE II) - Nafasi 25

5.1 MAJUKUMU YA KAZI

i. Kupima sampuli zinazoletwa maabara.
ii. Kuhifadhi sampuli zinazotakiwa kufanyiwa uchunguzi au kupelekwa Maabara za
ngazi za juu.
iii. Kufanya kazi za ukaguzi wa maabara, vitendanishi, vifaa, kemikali na hifadhi ya
kemikali.
iv. Kuweka kumbukumbu za maabara ambazo zimepatikana wakati wa uchunguzi.
v. Kufundisha watumishi walio chini yake.
vi. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na
elimu, uzoefu na ujuzi wake

5.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Stashahada katika fani ya Uteknolojia wa Maabara za afya kutoka Chuo
kinachotambuliwa na Serikali, ambao wamesajiliwa na Baraza la Waatalam wa Maabara.

5.3 NGAZI YA MSHAHARA

TGHS B

How to Apply

How to apply is available to members

The employer’s application route — the email, portal or form, and the deadline — opens as soon as you have a free account.

Create a free account or log in
Practice Interview
00:00

Mock Interview Room

Practice for: Mteknolojia Maabara Daraja II (Health Laboratory Technologist at Public Service Recruitment Secretariat

Select difficulty level:
Your spoken accent / language — helps us capture your words accurately
Realistic mock interview with a live panel and personalized feedback

Similar jobs

Browse all jobs ›
Mwalimu Daraja La III C - Somo La Fasihi Ya Kiingereza (English
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Afisa Afya Mazingira Msaidizi Daraja La II (Assistant
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mwalimu Daraja La III B - Somo La Hisabati (Mathematics Subject)
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mwalimu Daraja La III C - Somo La Hisabati (Mathematics Subject)
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja La II (Office Management
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Tabibu Wa Kinywa Na Meno Daraja La II (Dental Therapist Grade II)
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Healthcare