Afisa Muuguzi Msaidizi Daraja La II (Assistant Nursing Officer

Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania
full_time

Job Description

GRADE II) - Nafasi 128

2.1 MAJUKUMU YA KAZI

i. Kutoa huduma za uuguzi.
ii. Kukusanya takwimu muhimu za afya.
iii. Kuwaelekeza kazi wauguzi walio chini yake.
iv. Kuelimisha wagonjwa na jamii kuhusu matatizo ya kiafya.
v. Kutoa huduma za kinga na uzazi.
vi. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi zinazohusiana na
elimu, uzoefu na ujuzi wake.

2.2 SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa wenye Stashahada (Diploma) ya Uuguzi, ya muda usiopungua miaka miwili
kutoka Chuo kinachotambuliwa na Serikali, waliosajiliwa na Baraza la Wauguzi na
Wakunga Tanzania

2.3 NGAZI YA MSHAHARA

TGHS B

3.0 AFISA MIFUGO DARAJA LA II (LIVESTOCK OFFICER GRADE II) - Nafasi 39

3.1 MAJUKUMU YA KAZI

i. Kubuni mipango ya uzalishaji mifugo wilayani;
ii. Kuratibu uzalishaji wa mifugokatikamashamba madogo na makubwa ya mifugo;
iii. Kusaidia kuratibu mipango ya ugani kuhusiana na uzalishaji wa mifugo wilayani;

The rest of this advert is locked

Log in to read the full job — and 747 more open right now

You are reading the opening of this advert. An account is free and opens the rest of it, including the requirements and exactly how to apply before the deadline.

  • The complete description, requirements and how to apply
  • Build a professional CV aimed at this exact role
  • Link your WhatsApp and get every morning’s new jobs sent to you

How to Apply

How to apply is available to members

The employer’s application route — the email, portal or form, and the deadline — opens as soon as you have a free account.

Create a free account or log in
Practice Interview
00:00

Mock Interview Room

Practice for: Afisa Muuguzi Msaidizi Daraja La II (Assistant Nursing Officer at Public Service Recruitment Secretariat

Select difficulty level:
Your spoken accent / language — helps us capture your words accurately
Realistic mock interview with a live panel and personalized feedback

Similar jobs

Browse all jobs ›
Mwalimu Daraja La III C - Somo La Fasihi Ya Kiingereza (English
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Afisa Afya Mazingira Msaidizi Daraja La II (Assistant
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mwalimu Daraja La III B - Somo La Hisabati (Mathematics Subject)
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mwalimu Daraja La III C - Somo La Hisabati (Mathematics Subject)
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja La II (Office Management
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Other
Mteknolojia Maabara Daraja II (Health Laboratory Technologist
Public Service Recruitment Secretariat
Tanzania Healthcare